Wangu | View Profile

Rate this video

Ratings of Wangu

Be the first to rate this video

Analysis of Wangu

There is this question posed more thm one time,a man is cheating on his wife,he is honest about it to the mistress but lies to the wife.So between the two who does the man love?That is food for thought.In this song Nadia Mukami features Sanaipei Tande.Nadia takes the persona of a mistress and Sanaa takes the persona of a wife who is being cheated on and they are both arguing about who the man belongs to.Sanaa warns Nadia and tells her that she is temporary that the husband will eventually tire and get rid of her.To Nadia,she doesnt care even if the man is married as long as she is being spent on.The song is a true depiction of the society,young girls have affairs with older guys so that they will live a lavish life

This song by Nadia Mukami was released on 19th October 2020

Lyrics of Wangu

Hey, (hmm), Sanaipei
Hey, Nadia
(Alexis on the beat)

Wewe nani?
Unanipigia simu kama nani?
Eti niachane na mume wako nani?
Unajua Nadia kweli mi ni nani?

Weh ni nani
Unampigia simu kama nani? Eeh
Ata utoe vya ndani, atarudi hapa kwangu tu nyumbani, eeh

Anapenda vidogodogo, mwenzako ana vimumunya (munya)
Mwanamke unapenda zogo
Tafuta jambo hilo la kufanya (fanya)

Oh, ni wangu
Huyu nasema, ni wangu
Oh, ni wangu
Kubali yaishe, ni wangu

Oh, ni wangu
Huyu nasema, ni wangu
Oh, ni wangu
Mwishowe yataisha, ni wangu

Hivyo vimeseji na kuficha simu havinishtui (oo-wee)
Atachoka nawewe (eh), pengine aende (eh), yule hakagui (oo-wee)

Kelele ya chura haizuii ng'ombe kunywa maji
Kwangu habanduki
Kwako hatoboki, nakwama na yeye (kwama na yeye)

Anapenda wife-material, mwenzako anakudanganya (danganya)
Mwanamke una kasoro (weh)
Tafuta jambo hilo la kufanya (kufanya)

Oh, ni wangu
Huyu nasema, ni wangu
Oh, ni wangu
Mwishowe yataisha, ni wangu

Oh, ni wangu
Huyu nasema, ni wangu
Oh, ni wangu
Kubali yaishe, ni wangu

Mi sitakoma, koma, koma, koma
Mi sitakoma, koma, koma, mama, eeh

N'takukomboa, komboa, komboa, komboa
N'takukomboa, komboa, komboa, msichana, weh-eih

Oh, ni wangu
Huyu nasema, ni wangu
Oh, ni wangu
Mwishowe yataisha ni wangu

Oh, ni wangu
Huyu nasema, ni wangu
Oh, ni wangu
Kubali yaishe ni wangu

Oh, ni wangu
Huyu nasema, ni wangu
Oh, ni wangu
Mwishowe yataisha ni wangu
Oh, ni wangu
Huyu nasema, ni wangu
Oh, ni wangu
Kubali yaishe, ni wangu

Share this Page