Nenda Ukapumzike Feat All Artists | View Profile

Rate this video

Ratings of Nenda Ukapumzike Feat All Artists

Be the first to rate this video

Analysis of Nenda Ukapumzike Feat All Artists

NENDA UKAPUMZIKE a song to pay tribute to the paternal uncle of SHOMARI CHRYZO, Manarha Kuminga former director of the Congolese School Center in Bujumbura and MANIDEV School Complex (Maniema Development) in Bujumbura, Manarha Kuminga died on May 25, 2022 suddenly in his residence in Bujumbura

This song by Shomari Chryzo was released on 3rd July 2022

Lyrics of Nenda Ukapumzike Feat All Artists

NENDA UKAPUMZIKE (feat All Artists) by SHOMARI CHRYZO

Aaàah Aaah…

(David Étienne All Artists)

Tariki 25 ya mwezi wa 5

Mzee Manarha mwenye busara, ametuacha

Atuna mengi yaku sema, pumuzika salama

Atutoweza Ku sahau,mambo uliyo ya fanya

‘’Manarha Kuminga Jean-Chrysostome'' Pumuzika Salama.

(Daniel Radam All Artists)

Ijapokua ume tuache, tuna imani kwamba tutaonana

Kwa Mungu Baba aliye mbinguni, tuna amini kwamba tuta onana

Kwa Yale mazuri uliyo fanya, tuna amini utavikwa taji ya uzima ah ah

Mahali pema nenda Ukapumzike, Papa Manarha nenda Ukapumzike

(All)

Umeondoka tutaku kumbuka (umeondokaa , tutaku kumbuka)

Kwa mazuri, uliyo ya fanya (Kwa mazuri hii)

Umeondoka, tutaku kumbuka ( umeenda baba, myoyo yetu ina umaa)

Kwa mazuri, uliyo ya fanya (kwa mazuri baba) (familia inaliya watu wana liya baba)

Mahali pema nenda Ukapumzike, Papa Manarha nenda Ukapumzike (yee mahali pemaaa)

(Eben Ezer All Artists)

Mukubwa kwa mudogo wewe uliwasaidiya, ulikua kimbilio cha wengi, nakuliya baba, ulitufunza upendo we have seen love through you, we really love you uh, eh baba, eh baba eh pumuzika Salama.

(LeBon All Artists)

Baba yetu Manarha ametuacha

Moyoni tunabaki na machozi

Shuja ameondoka tena

Yupo pamoja na mwokozi.

(LeBon & Daniel Radam)

Kido ni fumbo kwa watu wote, kifo faida kwa mkristu

Twa farijika sisi sote, tutaonana baba yetu.

(All)

Umeondoka tutaku kumbuka (umeondoka, Baba yangu baba ah)

Kwa mazuri, uliyo fanya (iyee iyee)

Umeondoka tutaku kumbuka (tutaonana, babaaa)

Kwa mazuri, uliyo fanya (iyee uko juu, uko juu tutaonana)

Mahali pema nenda Ukapumzike (iyee iyee iyee iyee)

Papa Manarha nenda Ukapumzike (Papa, Baba yangu eehee , aaii)

(Shomari Chryzo)

Nilizaliwa unaniona, ukani komalisha ukanipa na JINA '’Majina’’

Nikifunga macho nakuona, roho unani uma

Upole wako hasilia, Mzee mwenye hekima

Papa Mbona kifo Cha Ivo ?

Nikifunga macho nakuona moyo unani uma

Umeondoka watu achia nani ?

Ataongoza familia ni nani ?

Nani mwengine atani ita '’Majina Chryzo'’ eeh ?

Eh Baba Mungu ona ata mema, aliyo fanya baba yangu miye

Na Nafsi yake uitunze vema, umu kumbuke…

Aaah NENDA Eh, PAPA Manarha NENDA Eh, NENDA Eh

Papa lala Eh, Papa Manarha lala, Eh lala Eh.

(All)

Mahali pema nenda Ukapumzike

PAPA Manarha nenda Ukapumzike…

(David Étienne)

Kwa Kweli wana sema kifo ni fumbo kwa watu wote

Lakini kwa sisi wa Kristo kifo ni faida kwa mkristo

Mambo ambayo uliyo Fanya Baba yetu

Ayata weza kutoka katika ya myoyo yetu

Atuna mengi yakusema katika siku ya leo

Basi tunaku takia nenda salama Baba yetu

Ule Mungu uliye fanyizia mema

Na amini ipo siku ataku vika Taji ya Uzima

NENDA SALAMA BABA YETU.

Share this Page