Diamond Platnumz - I Miss You (official Video) | View Profile

Rate this video

Ratings of Diamond Platnumz - I Miss You (official Video)

Be the first to rate this video

Analysis of Diamond Platnumz - I Miss You (official Video)

I'm a Nigerian but I admire this artist's talent, style of music and particularly his voice. He's arguably one of the best vocalist currently in our beloved Africa. May God keep him safe as I wish him all the best in his musical journey. Much love from New York City to all you fans of Diamond Platnumz. This song is too deep and very emotional, tells the story of men who love and loose true love because they havent made it in life yet, but I believe we all find love again in life.Dope song

This song by Diamond Platnumz was released on 21st June 2017

Lyrics of Diamond Platnumz - I Miss You (official Video)

Hello, hapo vipi sijui unanisikia
Hello, na maneno natamani kukwambia
Hello, tafadhali usije nikatia
Hello ooh, ona mpaka nasahau kusalimia
Habari gani? Leo nimekukumbuka sana
Na mama yaani, twakuwazaga
Vipi nyumbani, hali ya mumeo na wana?
Na aunty Shani, wa Chimwaga
Anha Kile kidonda changu cha roho
Bado kinanitia tabu
Najitahidi kukaza roho
Ila nazidisha adhabu
Tena silali oh
Nasubiri maajabu
Maumivu yangu hayajapata dawa

Maana I miss you (nakukumbuka iye iye) nakukumbuka baby
I miss you (nakukumbuka iye iye)
I do miss you (nakukumbuka iye iye) nakukumbuka mama
I miss you (nakukumbuka iye iye)

Na roho yangu mama (bigili bigili)
Ah nikikuwaza (bigili bigili)
Nikisinzia (Bigili bigili bayoyo)
Oh nikilala (bigili bigili)
Inama inuka woh (bigili bigili)
Nami sina raha (Bigili bigili bayoyo)

Tatizo hata sijui nini kosa langu
Mpaka nikawa adui ghafla ukanichukiaga
Nawaza ila siambui ama shida zangu uuu..
Simba nikawa chui mi roho inaniumaga
Yawezekana ahadi zangu zisizotimia
Ndio maana haukutaka kusubiria
Nasema nyama mwisho wa siku naleta bamia
Chai mchana usiku dona kurumaghia
Nilitamani sana ila nguvu yangu pale iliishia
Ningalikua na uwezo ningekutimizia
Ningali unafuraha haya maumivu ntayavumilia
Ila japo nambie ivi unanifikiria maana eh eeh

Nakumkumbuka iyeh iyeh (nakumkumbuka sana ooh)
I miss you (nakukumbuka iye iye)
Nakumkumbuka sana ooh
I miss you (nakukumbuka iye iye)
I miss you (nakukumbuka iye iye)

Ooh na roho yangu mama (bigili bigili)
Ah nikikuwaza (bigili bigili)
Nikisinzia (Bigili bigili bayoyo)
Oh nikilala (bigili bigili)
Inama inuka woh (bigili bigili)
Nami sina raha (Bigili bigili bayoyo)
Hata nikila (bigili bigili)
Nikikuwaza (bigili bigili)
Nikiiii nana(Bigili bigili bayoyo)
Ooh na roho yangu mama (bigili bigili)
Ah nikikuwaza (bigili bigili)
Nikisinzia (Bigili bigili bayoyo)

Eeeeeh eeh roho yangu mama (Bigili bigili)
Eeeeh hee hee (Bigili bigili)
Eeeeh hee hee (Bigili bigili bayoyo)
Oooh roho yangu mama (Bigili bigili)
Inama inuka woh (bigili bigili)
Na Chibu sina raha(Bigili bigili bayoyo) oh
Hata Nikila

Share this Page