Diamond Platnumz - Utanipenda (lyric With English Translation Video) | View Profile

Rate this video

Ratings of Diamond Platnumz - Utanipenda (lyric With English Translation Video)

Be the first to rate this video

Analysis of Diamond Platnumz - Utanipenda (lyric With English Translation Video)

Diamond Platnumz was a deft creative mind especially in his early days of singing. Utanipenda hit was creation of a love affair where a pursuer is not sure if his love will be returned.

This song by Diamond Platnumz was released on 12th December 2015

Lyrics of Diamond Platnumz - Utanipenda (lyric With English Translation Video)

Oh ghafla visenti sina nimerudi tandale

Nimeshindwa kulipa bima nimeuza madalee

Radio nyimbo wamezima TV ndio hataree Umeneja umebaki jina hanitaki hata talee

Oooh wale shabiki zangu walonisifu kwa maneno matamu

Leo maadui zangu ni mitusi tu kwa instagramu

Kimwana si dada angu eti naye hanifahamu Hata Harmonize nikimpigia ananifokea kama sallam

Na magazeti ya nyumbani kwa kukuza habari si unajuaga

Utasikia tafarani eti Mondi kwa Zari amemwagwa

Na venye nilivyo mnyonge tabia ya kuwajibu sinaga

Kama naiona michambo ya mademu wa zamani nilowapitiaga

Ooh nayosema yana maana sababu hakuna anayejua kesho

Anayepanga ni rabana ila ameficha ni confidential Ukisali omba sana mumeo nisije kuwa kichekesho

Maana rafiki wa jana ah ndio adui mkubwa kesho Lala lala lala laah

je utanipendagaa Lala lala lala laah

au nawe utanimwaga Lala lala lala laah

eti utanipendagaa lala lala lala laah ooh

Ooh bado naiwaza sana zile tuzo mashauzi airport

Je itapofika tamaa utadiriki hata japo kunipost

Pindi show zimekwama na nikipata sijazi ni mikosi

Oh jahazi limezama mola ninusuru baba

Kama namuona mwanangu roho yangu Tiffah Dangote

Anakwenda na mama angu kwa Jakaya Kikwete wanafukuzwa watoke

Usiliye Sandra wangu mboni yangu jikaze usichoke

Huenda kesho zamu yangu nitavuma tena mambo yanyoke

Eeh Na magazeti ya nyumbani kwa kukosa habari si unajuaga

Utasikia tafarani eti Mondi kwa Zari amemwagwa

Na venye nilivyo mnyonge tabia ya kuwajibu sinaga

Kama naiona michambo ya mademu wa zamani yaani kedekedeEeeeeeih!

Lala lala lala laah oh lala

lala lala laah Lala lala lala laah

oh lala lala lala lalaah

Lala lala lala laah oh lala lilaa lala lala lala laah aisee

Kama namuona mwanangu roho yangu Tiffah Dangote

Anakwenda na mama angu kwa mkubwa Fella anafukuzwa atoke Usilie Sandra wangu mboni yangu jikaze usichoke

Hueda kesho zamu yangu nitavuma tena mambo yanyoke hehe eee

hey Oh lalalila oh baby Tudd Thomas Ah nayosema yana maana sababu hakuna anayejua kesho

Anayepanga ni rabana ila ameficha ni confidential

Ukisali omba sana mumeo nisije kuwa kichekesho Maana rafiki wa jana ndio adui mkubwa kesho Wasafiiiii

Share this Page